Mwijaku ameonekana akiombewa na Mtumishi wa Mungu, Mzee wa Upako, katika tukio lililozua hisia na gumzo miongoni mwa waliolishuhudia. 🙏
Je, unaamini maombi haya yanaweza kumsaidia Mwijaku katika kipindi hiki, hasa wakati akikabiliwa na kesi ya madai ya Shilingi milioni 200 kutoka kwa Kajala? 🤔

