Mlinzi Wa Yanga Shamte Mkumba Atiwa Mbaroni

Baba Abby
0



Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Septemba 15, 2026, limemkamata na kumuhoji Shamte Mkumba kwa tuhuma za kuhusika na taharuki iliyotokea Azam Complex wakati wa mchezo wa klab bingwa baina ya wenyeji Young Africans dhidi ya Gaborone United ya Botswana,


Mkumba ni mlinzi, shabiki na mwanachama wa Yanga SC.


Usisahau Kuacha Maoni Yako kwenye comment...

Tags

Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)

#buttons=(Ok, Go it!) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Check Now
Ok, Go it!