Marioo Ashinda Tuzo Ya Msanii Bora Wa Kiume AFRIMMA

Baba Abby
0

 

Marioo

Mwanamuziki mahiri kutoka Tanzania, Marioo, amezidi kuweka heshima kwenye kiwanda cha muziki baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki Mbele Ya Diamond  Platnumz na Eddy Kenzo Kutoka Uganda katika usiku wa tuzo za AFRIMMA zilizofanyika nchini Marekani.


Kama hiyo haitoshi, nguli huyo hakubaki tu kupokea tuzo alipanda jukwaani na kupiga shoo ya kibri iliyowainua mashabiki na kuacha gumzo kubwa!

Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)

#buttons=(Ok, Go it!) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Check Now
Ok, Go it!